Mgombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CCM  Ndg. Davis Mosha akielekea katika uwanja wa mkutano kata ya Soweto  akiwa na walinzi wanamama. Mgombea huyu kijana na mfanyabiashara maarufu anaendelea kuchanja mbuga katika jimbo hilo na wadadisi wa mambo wanasema nyota yake ni kali sana kiasi cha kumtabiria ushindi wa kishindo. Wanasema dogo anatisha.
 Umati wa watu uliojitokeza kumsikiliza Ndg. Davis Mosha akijinadi na kumwaga sera za CCM mbele ya umati mkubwa wa watu
  Umati wa watu uliojitokeza kumsikiliza Ndg. Davis Mosha akijinadi na kumwaga sera za CCM.
  Ndg. Davis Mosha akijinadi na kumwaga sera za CCM
Mwenyekiti wa UWT Ndg. Sofia Simba akimkabidhi Ndg. Davis Mosha kwa viongozi wa ccm Moshi Mjini
Davis Mosha akiondoka katika baada ya Mkutano wa Kampeni wa Soweto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...