Na Yusef israel
Namshukuru mwenyezi Mungu kwa kutuweza kutufikisha hapa  toka tupate uhuru na toka nchi zetu mbili hizi zilizoweza kuungana na kuzaliwa taifa moja la jamhuri ya muungano  watu wa Tanzania,ni mambo mengi tumeshuudia mazuri  na mabaya natunapakaa na kuangalia nyuma  tunaona kweli kuna mazuri tumefanikiwa na kuna mambo ambayo tumeshindwa kuyatimiza au kuyatenda kwa sababu zetu wenyewe au makosa yetu wenyewe au sababu ya kutokuwa na uwezo wa kifedha.

Tanzania ya leo ina  wananchi waliozaliwa wakati nchi ikiwa inaitwa Tanganyika  na ikiwa haijapata uhuru na watanzania wa baada ya uhuru  na Wa Tanzania wa waliozaliwa nchi ikiwa inaitwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Je,  wakati  nchi hizi zilizokuwa zinaungana Wazee wetu walifikiria nini au nini kilichowafanya wazee wetu hawa waamue nchi izi mbili ziungane  utakuta kuna mambo mengi yanayosemwa ,wengine ni kwa ajiri ya ulinzi wa visiwa hivyo visije vikachukuliwa tena na sultan wa oman wengine hiyo ni siri ya  Mwalimu na Mzee Karume kuna mambo mengi sana na baadhi ya viongozi wa siasa waliosomeshwa na serikali zilizokuwa zikiongozwa na wazee leo wamewaita majina mengi tu ya ajabu na kuwadharau.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...