Mkuu wa Ushirikiano wa Ubalozi
wa Switzerland nchini Tanzaania Romana Tedeschi akizungumza na wananchi (hawapo
pichani) walioshiriki uzinduzi wa Mradi wa kuboresha maeneo matano ya wazi ya Mji
wa Zanzibar kwa kuanzia na Kiwanja cha Demokrasia
Kibandamaiti utakaofadhiliwa na Shirika la SDC la nchi hiyo.
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis akizindua Mradi wa
kuboresha maeneo ya wazi ya Mjini Zanzibar katika hafla iliyofanyika
Idara ya
Ardhi na Upimaji Forodhani Mjini Zanzibar, (kulia) Mkurugenzi wa Mipango
Miji
na Vijiji Muhamad Juma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...