Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa
Tanzania akifungua rasmi kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Mahakama ya
Tanzania mapema leo katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gaspar uliopo mjini
Dodoma, katika hotuba yake ya ufunguzi Mhe. Jaji Mkuu amewaasa Watumishi wa
Mahakama kutimiza wajibu wao wa utoaji haki nchini kwa uadilifu.
Kundi la baadhi ya Wahe. Majaji na wajumbe
wengine wa Baraza la Wafanyakazi wakiwa katika Mkutano Mkuu wa Baraza la
Wafanyakazi linalofanyika katika Hoteli ya St. Gasper mjini Dar es Salaam.
Mhe. Hussein A. Kattanga, Mtendaji Mkuu,
Mahakama ya Tanzania akitoa taarifa ya Maendeleo ya Mahakama katika ufunguzi wa
kikao cha Baraza la Wafanyakazi kinachofanyika mkoani Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...