KUNDASAI ROBERT TERRY
 16-09-1964 mpaka 16-09-1998

Mume wangu mpendwa, leo umetimiza miaka kumi na saba(17) tangu ulipoitwa mbinguni kwa Baba.

Hatuna cha kusema, tumebaki kushukuru tuu maana imeandikwa tushukuru kwa kila jambo. Kweli ua zuri limerudi kwenye bustani ya Eden.

Tunakumbuka sana upendo wako na utanashati uliokuwa nao. Kundasai, tupo kama ulivyotuacha kama familia. Imani yetu kuwa ipo siku wote tutakutana tena paradiso.

 Unakumbukwa  sana na mimi mkeo  mpendwa Elizabeth, wanao Harrison na Diana, nduguzo Martha, Hellen, pacha mwenzio Luwera, Alice, Glad, Vivian na Aida, wajomba wa kwa Terry wote wa mamba kwa Kiria, wa- Kweka wote wa narumu, majirani wa Temeke- mikoroshini na mtoni kijichi- DSM, ndugu, jamaa na marafiki wote.


“ RAHA YA MILELE UMPE EEE BWANA............”

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...