Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa
Chama cha Wananchi CUF - Zanzibar, Nassor Mazrui, wakati akiwasili
katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho, zilizofanyika
kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9,
2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akizungumza jambo na Mgombea Mwenza wake,
Mh. Juma Duni Haji, katika hafla ya Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha
Wananchi CUF - Zanzibar, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia,
Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na Mgombea Urais wa Ukawa wa
Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad,
wakati wa Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CUF, zilizofanyika kwenye
Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Zanzibar leo Septemba 9, 2015.
KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA AU BOFYA HAPA
KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA AU BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...