Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akinadi sera zake kwa umati wa wakazi wa
Mji wa Dodoma waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Barafu,
Mjini humo leo Septemba 11, 2015, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa
Mikutano yake ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika Oktoba
25, mwaka huu.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa
Jimbo la Dodoma Mjini, Benson Kigaila, wakati wa Mkutano wa Kampeni,
uliofanyika kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini Dodoma leo Septemba 11, 2015.

Waziri
Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye, akiwahutubia wananchi wa mji wa
Dodoma waliofurika kwa wingi wao kwenye Uwanja wa Barafu mjini humo, kwa
ajili ya kusikiliza sera za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.

Mwanasheria
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwaga
cheche zake katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa
UKAWA kupitia Chama hicho, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja
wa Barafu, Mjini Dodoma.
KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA
KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA
Naitwa Jongoo, ndugu zangu watanzania na wana Ukawa mimi kama mwana harakati nisiye na chama huku nikiwa kama refarii wa huu mpambano 2015 nime jalibu kuzizoom hizi picha moja baada ya nyingine jibu nikapata wengi wa huu umati ni vijana tena chini ya umri ambao kisheria hawa pigi kula sasa je hapa itakuaje? mimi kama mwana harakati na refarii wa huu mpambano natoa angalizo mapema kwa hii team sitaki lawama baada ya mchezo eti ooo refarii kapendelea wakati nyie wenyewe ndio mmeamua kuchezesha watoto mbele ya manje mba wa ACT Wazalendo na CCM naombeni msaada wenu je hii mechi niichezeshe au nijiweke pembeni?
ReplyDelete