Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika
katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya
kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa
Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati
alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015
baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama. Kushoto
ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Kenya, Eugene Wamalwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...