Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi
mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la
Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini
Arusha(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha)
Umati
wa watu uliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za ccm jimbo la Arusha
mjini katika ene la soko kuu jijini Arusha,ambapo rasmi walizindua
kampeni za ubunge na udiwani
Mgombea
ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi ccm Philemon
Mollel maarufu kwa jina naMonaban akimwaga sera zake katika uzinduzi huo
ambapo alikiri kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo endapo ataibuka
mshindi katika uchaguzi mkuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...