Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego (wan ne kutoka kushoto), akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa maonyesho ya siku ya bahari duniani, yanayoadhimishwa kitaifa mkoani Mtwara. Maonyesho hayo yatafanyika kwa siku tatu katika viwanja vya Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA), Mkoani Mtwara.
  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego (wa kwanza kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Navigation kutoka Jeshi  la Wananchi Tanzania, Meja Joseph Mjema ,wakati akitoa maelezo ya namna ramani zinavyotumika kwa watumiaji wa baharini wakati wa  wa ufunguzi wa Maonyesho ya siku ya bahari duniani ,yanayoadhimishwa kitaifa Mkoani Mtwara. Maonyesho hayo yatafanyika kwa siku tatu.
  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego, akiongea na washiriki wa maonyesho na wananchi  leo mchana wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya siku ya bahari duniani, yanayoadhimishwa kitaifa Mkoani Mtwara. Maonyesho hayo yatafanyika kwa siku tatu.

(Habari picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...