Kutoka shoto ni Mpiganaji Fadhiri Atick a.k.a Mr.Pengo
akimlisha Keki Mama yake Mzazi Stumai Maneno kama heshima katika Hafla
ya Sherehe ya kuzaliwa kwa mwana Libeneke Fadhiri Atick kutimiza Miaka
kadhaa iliyo fanyika nyumbani kwao huko jijini mbeya jana
Tar.07-09-2015.
Kutoka kulia ni Tecla Rashid na Fadhiri Atiki akizungumza
jambo katika Hafla hiyo....
Kutoka Shoto ni Mrs.Lweja akimpongeza Mwanalibeneke Fadhiri
Atick a.k.a Mr.Pengo Katika HafLa hiyo ya kusherehekea Siku ya
Kuzaliwa kwa Fadhiri Atick Kutimiza Miaka
kadhaa,,,
Ankal Ramadhani Maneno kulia akimpongeza bwana Fadhiri Atick
kwa kutimiza Miaka kadhaa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...