. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki akizuru eneo la Magereji Tegeta.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.
Angela Kairuki atembelea eneo maalumu la Mradi wa Gereji kwa Vijana Tegeta.
Eneo hili linajulikana kwa jina la Magereji kwakuwa ni eneo maalumu
lililotengwa kwa vijana wanaojishughulisha na utengenezaji wa magari kutoka
mitaa mbalimbali jijini Dar es salaam.
Mhe. Angela Kairuki akiangalia
mitambo ya kisasa inayotumika kutengeneza magari katika eneo la Magereji
Tegeta.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...