Msanii Nyasa Boy kutoka Rock City Mwanza
Na:George Binagi-GB Pazzo
Nyasa Boy ni Msanii wa Kizazi kipya kutoka Jijini Mwanza ambae anachipukia vizuri sana.
Katika audio ya wimbo huu unaoitwa Chongoroa, Nyasa Boy amewashirikisha Wasanii Mc.Darada pamoja na D'Maladha wote pia kutoka Jijini Mwanza.
BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...