Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof. Joseph Mbatia akizungumza juu ya kula vyakula vyenye lishe bora na kunywa maji ya kutosha kufanya mazoezi ya viungo angalau mara tatu kwa wiki, (kujali afya kila siku kujitambua na epuka vitu vinavyoathiri afya yako) ikiwa ni siku ya pili ya muendelezo wa Tamasha la  mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof.Joseph Mbatia akifafanua jambo wakati wa Tamasha la  mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof.Joseph Mbatia akifafanua jambo  ikiwa ni siku ya pili ya muendelezo wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam.
 (Picha na Emmanue Massaka)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kula vyakula bora vyenye lishe zote kutaimarisha afya kuliko bora kula.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...