Waziri Mkuu Mhe. Pinda (katikati) akimtambulisha Mkurugenzi wa TANAPA Dkt. Allan Kijazi (wa kwanza kulia) kwa Mfalme Letsie (wa kwanza kushoto). |
Waziri
Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa kwanza kulia) akimtambulisha aliyekuwa
Mbunge wa Viti Maalumu CCM Arusha Mhe. Catherine Magige (wa pili kutoka
kushoto) kwa Mfalme Letsie (wa pili kutoka kulia).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...