Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akimpokea Mfalme wa Lesotho,  Mhe. Letsie III (kulia) alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA).  Mfalme Letsie ambaye pia ni Kiongozi wa kuhamasisha masuala ya Chakula na Lishe wa Umoja wa Afrika yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Dunia kuhusu umuhimu wa kuongeza Virutubisho kwenye Chakula. Mkutano huo unafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 09 hadi 11 Septemba, 2015.
Waziri Mkuu Mhe. Pinda (katikati) akimtambulisha Mkurugenzi wa TANAPA Dkt. Allan Kijazi (wa kwanza kulia) kwa Mfalme Letsie (wa kwanza kushoto).
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa kwanza kulia) akimtambulisha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu CCM Arusha Mhe. Catherine Magige (wa pili kutoka kushoto) kwa Mfalme Letsie (wa pili kutoka kulia).


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...