Kusajiliwa wastaafu wa jeshi.
Ofisa Uendeshaji wa Shirika la Taifa
la Hifadhi ya Jamii (NSSF),mkoa wa Morogoro, Abdul Mzee ( kushoto) akichukua
alama ya vidole kwa Mwanachama wa Muungano wa wanajeshi wastaafu Tanzania (MUWAWATA),
Luteni mstaafu, Josephat Mtema, sept 13, mwaka huu ,ili kujiunga na NSSF kwa mfumo
wa kuchangia kwa hiari kwa ajili ya kunufaika
na huduma za mfuko huo ikiwa na matibabu wakati walipokuwa katika mkutano wa
kawaida wa siku mbili uliofanyika Bwalo la Umwema ,mjini Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...