![]() |
Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp(kushoto) akipokea zawadi
kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Tanapa,Allan Kijazi
alipotembelea Makao Makuu ya shirika hilo
jijini Arusha.
|
Balozi
wa Uturuki nchini Mhe. Yasemine Eralp amesema atawaalika wawekezaji kutoka
Uturuki ili waweze kutumia fursa za uwekezaji zilizopo katika Hifadhi za Taifa
nchini. Balozi Eralp alitoa ahadi hiyo alipotembelea Makao Makuu ya TANAPA
jijini Arusha na kukutana na viongozi wa shirika.
Balozi
Eralp amesema kuwa sekta ya utalii ni miongoni mwa vipaumbele vyake na kwamba
atatumia muda wake mwingi kuhakikisha kuwa sekta hiyo inastawi na kuvutia
watalii wengi nchini kutoka Uturuki.
Kusoma zaidi bofya HAPA.
Kusoma zaidi bofya HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...