Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza kufutwa kwa uchaguzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka hapo itakapotangazwa tena.

Taarifa kamili hii hapa chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Atwambie na sababu za kisayansi, maana uchaguzi unatumie fedha zetu. Hatuna hela nyingi hivyo za kubatilisha uchaguzi eti kwa sababu kuna mtu kaongea nini. Atwambie sababu za kisayansi hasa!!!!!

    ReplyDelete
  2. Mcheni Mungu (simaanishi salini, namaanisha mpeni haki kila anayestahiki hata kama anakera).

    ReplyDelete
  3. Ili idumu amani.

    ReplyDelete
  4. Amani Amani ndugu zetu visiwani hakuna haja ya jazba wala uvunjifu wa amani. Tume imefikia uamuzi huu kwa mujibu wa sheria. Tungoje taratibu zitakazofuata. Uchaguzi siyo uadui hakuna haja ya kuleta fujo.

    ReplyDelete
  5. Sasa si mnamdhulumu Shein ambaye hakukosea lolote kwa kufanya naye kura zake zifutwe? Mpeni zake ajuwe.

    Adhabu gani hii ambayo inawaumiza hata watu ambao hawakukosea?
    Ndo haki hiyo? ZEC fikirini.

    Hii inatokana na shule za zenj kuwa duni.

    ReplyDelete
  6. mgetwambia hizo data mbaya ni ngapi maana tulishalipia.

    ReplyDelete
  7. Waangalizi wa kimataifa walishasema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki sasa hiyo nyie mmetoa wapi?

    ReplyDelete
  8. Niwieni radhi, lakini naona viashiria vya vurugu na patashika kama moshi wa kifuu vile, Maulana atuongoze kwani naona bakora na marungu yana andaliwa.

    ReplyDelete
  9. We are awaiting for full justification and clear reasons as to why the election was annulled. Elections are expensive but just necessary luxuries

    ReplyDelete
  10. Mungu atuongoze katika jambo hili.
    Gharama zote zilizotumiwa jamani tuelezeni tatizo ni nini hasa na uchaguzi ukirudiwa halitatokea tena?

    ReplyDelete
  11. Hata nchi zinazoendelea kama kuna ukiukwaji wa taratibu badi kura hurudiwa. Tuwe na subira ili haki itawale.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...