Mwandaaji wa Bongo Star Search, Rita Paulsen akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani) juu ya fainali ya (BSS) itakayofanyika Ijumaa ya Oktoba 9 mwaka huu katika ukumbi wa King Solomoni Hall uliopo karibu na Nyumbani Lounge au Eaters Point eneo la Namanga kuanzia saa moja jioni kikao hicho kimefanyika leo Jiji Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa Huawei Samson Majwala.
Baadhi ya Wandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mwandaaji wa Bongo Star Search Rita Paulsen.
Washiriki wa (BSS) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwandaaji
wa Bongo Star Search Rita Paulsen leo jijini Dar
es Salaam.
Kila la kheri washiriki wote wa BSS 2015 and special wishes to my favourite contestant (Kayumba Juma), 'fingers crossed'. In Sha Allah.
ReplyDelete