Karibu CET Executive Lodge iliyopo Ngulelo - Kwa Mrefu, Arusha yenye muonekano wa kuvutia na kumfanya mteja anayefika mahali hapo kufurahia huduma zinazotolewa. Picha zinaonyesha muonekano wa CET Executive Lodge ikiwemo vyumba vya kisasa, sehemu ya bar na jiko. Unaweza kuwasiliana nao masaa 24/7 namba +255 742 120 992
Muonekano wa vyumba vya kisasa vyenye kiyoyozi muda wote na vitanda vya kuvutia. Vyumba vyao ni Self Container... Asubuhi mteja anapatiwa Chai (Breakfast).
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...