Mgombea wa urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akitoa heshima
zake katika kaburi la mdogo wake na Fadher Charles Kitima hapo jana katika kijiji
cha Siuyu Singida Mashariki wakati alipohani msiba katika familia hiyo jimboni humo.
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na
wana familia wa Fadher Charles Kitima wakati akihani msiba huo hapo jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...