Mgombea Urais wa Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi wa Gando akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake wa Kampeni Kisiwani Pemba. 

Mgombea Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea Ubunge wa CCM Wilaya ya Wete Pemba wakati wa Mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Gando Pemba. 

Mgombea Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea Uwakilishi wa CCM Wilaya ya Wete Pemba wakati wa Mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Gando Pemba. 

Mgombea Urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea Udiwani wa CCM Wilaya ya Wete Pemba wakati wa Mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Gando Pemba. 
Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...