SHANGWE za muziki mnene
wa 93.7 EFM ,kwa mara nyingine tena ziliendelea
ndani ya bagamoyo . Burudani ya aina yake ikiongozwa na timu nzima ya EFM ilishushwa
ndani ya mageti mia Adon lodge. Wakazi wa bagamoyo walipata nafasi ya kukutana
na watangazaji, na RDJ’s huku wakifurahia
burudani ya pamoja.
Muziki mnene bar
kwa bar ulipambwa na kabumbu kati ya EFM na Bagamoyo veterani ambapo Bagamoyo
veteran waliibuka na ushindi wa bao moja huku EFM wakiambulia sifuri.
Tangu kuanza kwa
mechi hizi hii ni mara ya pili kwa 93.7 EFM kufungwa,mara ya kwanza ilifungwa bao
mbili na buffalo fc ya kisarawe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...