Wananchi wakimsikiliza Mhe. Deo Filikunjombe wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo
Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo
Mhe DeomFilikunjombea akitoa mkono wa pole kwa wafiwa katikati ni mjane Mama Georgina Mtikila.
Waombolezaji wakiwa msibani
Mhe Deo Filikunjombe na waombolezaji wengnie wakiwa wamebeba jeneza la Marehemu Mch. Mtikila wakati wa mazishi
Mjane wa Mch. Mtikila Mama Georgine Mtikila akiweka shada la maua.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...