Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Sunrise ya mjini Mwanza Janeth Malima akionyesha kipaji cha kucheza kwenye tamasha la Coke Studio lililofanyika shuleni hapo.
Wanafunzi wa shule za sekondari za Bwiru na Sunrise wakionyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba wakati wa tamasha la Coke studio.
Wanafunzi wakifuatilia burudani za tamasha la Coke Studio wakiburudika na kinywaji cha Coca-Cola
- Mwanza,Dar,Mbeya na Arusha waonyesha vipaji vyao vya kuimba
Msimu
wa Coke studio mwaka huu ambao unajumuisha kolabo ya wanamuziki wa
Tanzania na wanamuziki kutoka nje ambao
umezinduliwa mapema wiki iiyopita unazidi kuleta burudani katika
makundi mbalimbali ya jamii ambao wanafunzi wa sekondari wamepata fursa
ya kushiriki na kuonyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba.
Katika matamasha yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika mikoa ya Arusha,Mbeya,Mwanza na Dar es Salaam wanafunzi
kutoka shule mbalimbali waliweza kushiriki burudani za matamasha ya Coke studio na kuonyesha vipaji vyao vya kuimba na kucheza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...