Mgeni rasmi  Angetile Osiah akizugumza katika  Tamasha la Kandanda Day 2015, hufanyika kila mwaka mwezi oktoba kwa kuzikutanisha Team Ismail  (Blue Jersey)na Dizo Moja (White Jersey) lilofanyika katika viwanja vya TCC Sigara, leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Bin Slum Tyres, Nassor Binslum, akionesha makeke yake uwanjani wakati wa Tamasha hilo leo jijini Dar es Salaam.
 Wachezaji wa timu  Ismail wakionyesha furaha ya ushindi Tamasha hilo leo jijini Dar es Salaam.
 Mgeni rasmi  Angetile Osiah akiwa na wanakamati wa timu katika picha ya pamoja katika  Tamasha la Kandanda Day 2015, Lilofanyika katika viwanja vya TCC Sigara, leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...