Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni Asubuhi Hii October 21, 2015.

SIMUtv: Tanzania imetajwa kutofanya vizuri katika utoaji wa huduma kwa wazee katika Nyanja mbalimbali hususani Afya na Mazingira. https://youtu.be/cnYXI1-elnI

SIMUtv: Rais Jakaya Kikwete ameliagiza Jeshi la Polisi nchi kufanya kazi  kwa weledi ili kuhakikisha Taifa linamaliza uchaguzi Mkuu wa Amani na utulivu https://youtu.be/ktVuerobzYY

SIMUtv: Mgombea Urais CCM Dkt. John Magufuli awaondoa hofu wakulima wa zao la Pamba na kuahidi kuongeza bei ya zao hilo kwa wanunuzi. https://youtu.be/L2PB7R2F41c

SIMUtv: Serikali visiwani Zanzibar Imeyakaribisha makampuni toka mataifa Mbalimbali kuwekeza mitaji katika mji wa Fumba ili kutoa fursa za ajira kwa Vijana https://youtu.be/CJSDknBLDHk

SIMUtv: Mamlaka Ya chakula na Dawa TFDA kanda ya ziwa imeharibu bidhaa bandia za Pombe aina ya Viroba zenye thamani ya zaidi ya Mil. 80. https://youtu.be/rwz7ek0zWNk

SIMUtv: Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora awataka wakazi wa wilaya hiyo wenye sifa za kupiga kura kujitokeza kwa Kuwa Hali ya ulinzi imeimarika. https://youtu.be/sOIK46Lp-3E

SIMUtv: Ligi kuu Tanzania bara yasimamishwa kwa muda na kupisha maandalizi ya timu ya taifa katika michezo ya kuwania kufuzu kombe la dunia;  https://youtu.be/hkGFA9Hs-e0

SIMUtv: Nyota wa kimataifa wa timu ya taifa ya Nigeria Emanuel Eminike atangaza rasmi kustaafu kuchezea timu hiyo;https://youtu.be/UMYdQynkcbQ

SIMUtv: Wakazi wa kijiji cha bendera wilayani Same Mkoani Kilimanjaro Wameombwa kuweka kando tofauti zao za kisiasa katika kujadili mgogoro wa Mpaka. https://youtu.be/vepp3pVgclU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...