Huu ni uchambuzi wa Habari za Magazeti toka vituo mblimbali vya Televisheni October 16, 2015
TBC
Magufuli Ataja Tiba ya Ajira na Foleni Dar, Msajili wa Vyama Aonya wanaotaka kubaki vituoni. Ungana nasi upate dondoo za magazeti ya leo. https://youtu.be/E83liI7wTOM
Star TV
Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Afariki Dunia, Ujenzi Barabara ya Juu Dar kuanza mwezi ujao, kwa hayo na mengine mengi habarika hapa. https://youtu.be/cXwsSqS_iAc
CH 10
Lowassa ainyooshea kidole NEC, Magufuli kuwasainisha mikataba mawazili wake, Magufuli ataja Mafisadi CCM. Pata dondoo hizi zaidi hapa. https://youtu.be/gwXZTku5k6w
Azam TV
Chopa iliyobeba makada CCM Yaanguka Selous, Mtuhumiwa kesi ya Bilionea Msuya aeleza alivyoteswa. Habarika kwa yaliyojiri hapa. https://youtu.be/D5SDMREvh9Q
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...