Huu ni uchambuzi wa Habari za Magazeti toka vituo mblimbali vya Televisheni October 16, 2015

TBC
Magufuli Ataja Tiba ya Ajira na Foleni Dar, Msajili wa Vyama Aonya wanaotaka kubaki vituoni. Ungana nasi upate dondoo za magazeti ya leo. https://youtu.be/E83liI7wTOM

Star TV
Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Afariki Dunia, Ujenzi Barabara ya Juu Dar kuanza mwezi ujao, kwa hayo na mengine mengi habarika hapa. https://youtu.be/cXwsSqS_iAc

CH 10
Lowassa ainyooshea kidole NEC, Magufuli kuwasainisha mikataba mawazili wake, Magufuli ataja Mafisadi CCM. Pata dondoo hizi zaidi hapa. https://youtu.be/gwXZTku5k6w

Azam TV
Chopa iliyobeba makada CCM Yaanguka Selous, Mtuhumiwa kesi ya Bilionea Msuya aeleza alivyoteswa. Habarika kwa yaliyojiri hapa. https://youtu.be/D5SDMREvh9Q

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...