Magufuli afunika Dar ,Lowassa awanadi viongozi CCM kwenye kampeni ,UKAWA kufunga kampeni jangwani. Tazama uchambuzi wa magazeti. 
Mahakama yapiga marufuku kukaa mita 200,Magufuli afunika,Lowassa asema mwisho wa CCM kesho. Fuatilia uchambuzi wa magazeti ya leo. https://youtu.be/0OygojVUywg
UKAWA wapata pigo,mwisho wa CCM ni kesho asema lowassa, Mahakama yapiga marufuku mita 200.Fuatilia habari kupitia uchambuzi wa magazeti. https://youtu.be/TuyqynV3cuY
Van Gaal na Wenger watofautiana,Yanga yazitega Simba na Azam,Kocha wa Simba byebye.Fuatilia uchambuzi wa magazeti. https://youtu.be/aCc_l0GXYq0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...