Mwanafunzi wa shule ya Sekondari
Azania ya jijini Dar-es-Salaam akizima moto kwa kutumia kizimia moto cha aina
ya dry powder baada ya kupewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto kutoka
Jeshi la Zimamoto na Ukoaji mkoa wa Ilala.
Wanafunzi wa shule ya Secondari
Azania ya jijini Dar-es-Salaam wakizimamoto kwa kutumia blanketi ya kuzimia
moto baada ya kupewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto kutoka Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Ilala jana tarehe 15 Oct, 15.
‘’Tayari tumeuzima’’ walisikika
wanafunzi wa shule ya Sekondari Azania jijini Dar-es-Salaam baada ya kufanikiwa
kuuzima moto kwa kuufunika kwa kutumia blanketi maalumu, huku wakishangiliwa
mafunzo hayo utolewa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini bila malipo yoyote.
(Picha
na FC Godfrey Peter).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...