Home
Unlabelled
MATOKEO YALIYOTANGAZWA OKTOBA 27,2015 USIKU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Walioshinda na mnaoendelea kutangazwa washindi katika viti vya ubunge na udiwani kutok vyama mbalimbali tunawapongeza wote. Wananchi wameongea, namba tumezisoma, wengi wamepewa, hongera sana kwa ushindi.
ReplyDeleteUchaguzi ulikuwa na upinzani mkali haukuwa rahisi wala na uhakika kama siku za nyuma. Wengi wamejitokeza kugombea na tutakuwa na viongozi wapya wengi bungeni na madiwani.
Walioshindwa pia mnastahili pongezi kwa kuingia kwenye uchaguzi mliyojifunza mmejifunza, mjipange kuendelea kutoa mchango wenu mkishirikiana na serikali itakayokuwa madarakani. Tujitie moyo tuendelee na shughuli nyingine na kujitayarisha kushiriki chaguzi zijazo.
Wasiorishika na matokeo nenda mahakamani, usilete vurugu. Tanzania Oyeee.