Waombolezaji wakielekea mazikoni. |
Mtoto wa marehemi Michael Yombayomba, Zakaria Yombayomba akiwasha mshumaa katika kaburi la baba yake.Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Most read Swahili blog on earth
Waombolezaji wakielekea mazikoni. |
Mtoto wa marehemi Michael Yombayomba, Zakaria Yombayomba akiwasha mshumaa katika kaburi la baba yake.Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Serikali kupitia Jeshi la Polisi haimkumtendea haki shujaa huyu aliyewahi kung'arisha jina la Tanzania ulimwenguni!!!! Lawama hizi pia haziwezi kuepukwa na aliyekuwa kocha wa Taifa wa ngumi enzi zile, Nassoro Michael.
ReplyDeleteMarehemu alifariki akiwa na donge la roho, hii ni mbaya sana.
Kullu nafsin dhaaikatul maut, tujitahidini tusiwe wakatili.
Nimesoma makala ya Michael Yombayomba ...kwenye gazeti la mwananchi , imenisikitisha sana ...kwa kweli namna Bondia pekee kuliletea taifa medali kwenye mashindano ya olimpiki [ madola ] alivyoishia mwisho wa kusikitisha ....
ReplyDeleteMichael Yombayomba anastahili kuenziwa zaidi ..hata kama akiwa hai hakuenziwa vya kutosha .