Wananchi zaidi  ya 500 wa kata ya Nyarugusu Mkoani Geita waandamana hadi zahanati ya kata hiyo wakishinikiza kuondolewa kwa wahudumu wa zahanati hiyo kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mama mjamzito.https://youtu.be/kF6wJDt_BIo
Hatua ya kwanza ya upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere yaelezwa kukamilika kwa asilimia 65. https://youtu.be/Z-PW1LOT9bA

Zaidi ya shilingi bilioni 3 zimetumika katika ujenzi wa stendi mpya Kisasa ya Msamvu Mkoani Morogoro na kupelekea mradi huo kukamilika kwa asilimia 50. https://youtu.be/L05t_EvTLbU

BOFYA HAPA KUONA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...