Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni yenye makao nchini Ujerumani ,itatumbuiza mjini Bremen,Ujerumani
Leo  jumamosi 7 November 2015,katika ukumbi wa Weserterrasse, uliopo
mtaa wa Osterdeich 70b, D- 28205 Bremen kuanzia saa usiku, onyesho hilo limeandaliwa na Pan-African Org tawi la Bremen ambalo linasherekea miaka 10 ya kuanziswa kwake. bendi ya Ngoma Africa band kwa sasa wanatamba na CD yao mpya La Mgambo na pia song lao jipya waliloliachia juzi tu "Mapenzi ya Pesa" nyimbo zote hizo zinapasua anga ya kimataifa
unaweza pia kusikiliza at www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. ffu-ughaibuni nyie hakuna kupumzika KAZI TU# mpaka kieleweke

    ReplyDelete
  2. Ze ngoma africa aka ffu,aka viumbe wa ajabu Anunnaki aliens bin watoto wa mbwa
    kutoka sayari ya pekee

    ReplyDelete
  3. Kamanda mkuu ras makunja's na kikosi cha mashambulizi aka watoto wa mbwa ,aka ffu-ughaibuni viumbe wa ajabu anunnaki

    ReplyDelete
  4. mkuu ras makunja mnatuachaga hoi majina yenu jinsi yanavyo tisha the ffu-ughaibuni, watoto wa dog

    ReplyDelete
  5. kamanda miye nakupigia saluti kumiliki na kumudu kukaa ndani ya gemu kwa muda mrefu tena ugenini si mchezo gwaride unaliweza kiongozi

    ReplyDelete
  6. Viumbe wa ajabu ffu aka anunnaki aleins kutoka special planet mliotuwa ughaibuni kwa kazi moja tu ya kuwadatisha akili washabiki wenu! hongereni

    ReplyDelete
  7. kamanda lile song lenu jipya mapenzi ya pesa mkuu turushieni tena hewani
    mle kuna mistari yenye utata lakini mpaka usikilize deep mkuu kazi nzuri sana sio muziki wa kitoto

    ReplyDelete
  8. NGOMA AFRICA AKA FFU WAZEE WA GWARIDE NA MWENDO WA KASI CHINI YA KAMANDA MAKUNJA BIN MAJUNUN MFLAME WA VIUMBE HATARI ANUNNAKI ALIENS NYIE WABAYA....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...