Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (katikati),
akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwa wafanyakazi wakati wa
kufungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Jeshi la Polisi
uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Polisi, Kilwa road, jijini Dar es
Salaam.
Washiriki
wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Jeshi la Polisi wakishiriki
kuimba wimbo wa mshikamano kwa wafanyakazi, wakati wa ufunguzi wa
mkutano wa Baraza hilo uliofanyika Chuo cha Polisi Kilwa Road jijini Dar
es Salaam.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akifungua
mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Jeshi la Polisi kilichofanyika Chuo
cha Polisi, Kilwa Road jijini Dar es Salaam.
Washiriki
wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Jeshi la Polisi wakiwa katika
mkutano Baraza hilo uliofanyika Chuo cha Polisi, Kilwa Road jijini Dar
es Salaam.(Picha zote na Abubakari Akida, Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi) .
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto),
akipokelewa na Maofisa wa Jeshi la Polisi alipowasili Chuo cha Polisi
Kilwa Road, kufungua Kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Jeshi hilo,
jijni Dar es Salaam.
Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali-Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...