DC
Makonda akitoa hutuba ya uzinduzi.
|
Mwanzilishi
wa umoja huo, Stellah Rwabutaza (kushoto), akimlisha keki mgeni rasmi DC
Makonda. Katikati ni mdau wa Keki Cynthia Henjewele.
|
Muokaji
keki, Roselins Sia Adhero (kulia), akimkabidhi keki DC Makonda.
|
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...