SIMU.TV: Babu Seya na mwanawe watua mahakama ya Afrika, Bi Simba anusurika kifo Dar. Pitia habari za magazetini hapa; https://youtu.be/9EhsMIwDS50
SIMU.TV: Watumishi wa serikali wametikiswa.Unataka kujua sababu ya mtikiso huo? Pitia magazeti ya leo Novemba 9.2015; https://youtu.be/2n1ZQqzwVss
SIMU.TV: Joto la waziri mkuu. Mawaziri lazidi kupanda. Wazanzibari waguswa na Dk.Magufuli. Ni katika magazeti ya leo; https://youtu.be/BAK7Ek_Rjfc
SIMU.TV: Samatta atwaa taji Afrika, Pluijm agomea usajili Yanga. Wasauz wamgombania Malimi Busungu; https://youtu.be/7Vb5UwcSnWI
SIMU.TV: Mtoto wa mwaka mmoja na miezi nane aandaliwa kuwa rais.Pata undani wa habari hiyo katika magazeti ya leo; https://youtu.be/hNfr0uG4ATI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...