Meneja Mauzo na
Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria(kulia)
akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Mitumbwi kanda ya Ziwa, Richard Mgabo,moja
vikombe vitakavyoshindaniwa katika mashindano ya za mbio za Mitumbwi wakati
wa uzinduzi huo uliofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki kwa udhamini wa bia
ya Balimi Extra Lager.
Meneja Mauzo na
Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria(kushoto)
akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Mitumbwi kanda ya Ziwa, Richard Mgabo,moja
vikombe vitakavyoshindaniwa katika mashindano ya za mbio za Mitumbwi wakati
wa uzinduzi huo uliofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki kwa udhamini wa bia
ya Balimi Extra Lager.
Mwenyekiti wa mitumbwi Kanda ya Ziwa, Richard Mgambo(katikati),akinyanyua
juu moja ya kikombe mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Mauzo na Usambazaji wa
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria kulia kwake atakalokabidhiwa
bingwa wa mbio za makasia mara baada ya
uzinduzi wa mashindano hayo yaliyofanyika TBL Mwanza mwishoni mwa wiki kwa
udhamini wa bia ya Balimi Extra Lager.Wengine ni viongozi wa mikoa katika maeneo ambako
fainali zitafanyika.
Naomba namba ya simu au mawasiliano yoyote Ndg,Richard Mgabo,naitaji kupata uzoefu wao katika kuandaa mashindano ya namna hii.Sisi tuna shindano kama hili mwezi wa kumi na mbili tarehe 19 na 20 ,2015 Matema Beach kwenye Matema Beach Festival.
ReplyDelete