Wanafunzi wa shule ya msingi Tabata Kisukulu wakiendelea na vipindi baada ya kupata msaada wa madawati 100 kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania. Msaada huo ni sehemu ya msaada wa madawati 1500 yaliyotolewa kwa shule 15 za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kwa ushirikiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania na Benki ya KCB.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ndugu michuzi mwambie dkmagufuli , haya mambo ya shule kupewa misaada ya madawati sio tija. Kuna wizara ya elimu ndio inatakiwa ifanye kazi hii waache kuiba fedha , miti na mbao tunazo nchini vipi tushindwe kujitegemea kwenye madawati mpaka watokee wafadhili? waswahili husema mkono mtupu haulambwi ,kuna siku hawa wanaojitolea watachoka.

    ReplyDelete
  2. Inapendeza, lakini mbona hatuoni picha za madawati yaliyotolewa kwenye shule kule Kasulu Kibondo au Uvinza na Biharamulo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...