Mhandisi wa Kampuni ya Chico, David Waruma akizungumza leo jijini Dar es Salaam juu ya kazi ya kusafisha na kuzibua uchafu katika daraja la Mto Msimbazi eneo la Jangwani, Jijini Dar es salaam kuzuia na kukomesha mafuriko yanayotokea kipindi cha mvua ambayo huleta athari kwa jamii inayozunguka eneo hilo pamoja na kulinda Kituo cha Mabasi yaendayo Haraka (BRT) cha Jangwani (Jangwani Depot), kisiathirike na Mafuriko endapo yatatokea.
Kazi ikiendelea ya kusafisha eneo la Mto Msimbazi leo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakitazama daraja la Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...