Mhandisi wa  Kampuni  ya Chico, David Waruma  akizungumza leo jijini Dar es Salaam juu ya kazi ya kusafisha na kuzibua uchafu katika daraja la Mto Msimbazi eneo la Jangwani, Jijini Dar es salaam kuzuia na kukomesha mafuriko yanayotokea kipindi cha mvua ambayo huleta  athari kwa jamii inayozunguka eneo hilo pamoja na kulinda Kituo cha Mabasi yaendayo Haraka (BRT) cha Jangwani  (Jangwani Depot),  kisiathirike na Mafuriko endapo  yatatokea.
  Vifaa maalum kwa ajili ya  kusafisha Mto Msimbazi, Jangwani jijini Dar es Salaam.
Kazi ikiendelea ya kusafisha eneo la Mto Msimbazi leo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakitazama  daraja la Mto Msimbazi  jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...