NA  BASHIR  YAKUB - 
Unapomdai  mtu  kupitia  mahakanma  na  hukumu  ikatolewa  kuwa  ni  kweli  unamdai  na  anastahili  kukulipa basi  mtu  huyo  hustahili  kulipa.  Lakini  mara  kadhaa  hutokea  mtu  kusema  sina  hela  ya  kulipa  au  vinginevyo  ilimradi  tu  asilipe  deni.

Lakini  pia  madai  hapa  si  lazima  iwe  hela  tu  inayotokana  na  kukopeshana.  Yapo  pia  madai  ambayo  hutokana  na  mtu  kushinda  kesi. Kwa  mfano   mwanamke  alifungua  kesi  dhidi ya mme  wake  akitaka  matunzo  yake  na  ya mtoto/watoto. Au shauri  limekwisha  na  mtu  aliyeshindwa  ametakiwa  na  mahakama  kulipa  gharama. Au malipo  ya  fidia  na  mengineyo  yote  ambayo  huamuliwa  na  mahakama  kuwa  yalipwe. Haya  yote  unaweza   kuyafanya  yalipwe  kwa  kukamata  mshahara  wa  mhusika  kwa  njia  za  kisheria .

Hatua  hii imeelezwa  katika amri  ya 21  ya kanuni  ya 47  ya  sura  ya  33  ya  sheria  ya  mwenendo  wa  mashauri  ya  madai.

1.HATUA  YA  KUKAMATA  MSHAHARA  WA  MTUMISHI.

Mahakama  inapotoa  hukumu  ikimtaka  mtu  fulani  kutekeleza  jambo  fulani  au  kulipa  kiasi  fulani  kwa  mtu  fulani   amri  hiyo  hutakiwa  kutekelezwa  kwa  hiari  na  si  vinginevyo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...