Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadam,Bi Hellen Kijo Bisimba aliyelazwa hospital ya Agakhan mapema leo kufuatia ajali ya gari aliyoipata mwishoni mwa wiki barabara ya Al-Hassan Mwinyi jijini Dar, Dkt Magufuli pia amefanya ziara ya kushtukiza katika hopsitali ya Taifa ya Muhimbili ikiwemo pia alitembelea wodi mbalimbali za wagonjwa na kuwajulia hali zao.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. PONGEZI NYINGI SANA RAIS WETU KWA KUWAJALI WATANZANIA. UBARIKIWE SANA SANA NA MWENYEZI MUNGU AKUJALIE AFYA TELE.

    ReplyDelete
  2. Tunakuombea baba fanya kazi tuliyokuagiza wana ccm tuna imani kubwa na thabiti na ww wanafiki wacha waongee cc kazi tuuuuu.

    ReplyDelete
  3. Huyu ndo rais ambaye wengi tulimpigia kura sababu tuna imani naye. Mwenyezi Mungu amsaidie rais wangu aibadilishe Tanzania.

    ReplyDelete
  4. Ni vizuri maana kuna wazembe wengi pia na rushwa mahospitalini wagonjwa wanakufa hovyo

    ReplyDelete
  5. hapa kazi tu uuu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...