Home
Unlabelled
Ratiba Ya Mkutano Wa Kwanza Wa Bunge 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sometimes waweza kusema am so 'fussy' but not, ila huwa nashindwa kuhimili nnapokhisi kukwazika na jambo au kitu flani, nafarijika nikikitowa rohoni. Nadhani hapo kwenye tarehe 5 Tukio la mwanzo, ingependeza au kuwa fasaha zaidi kama ingeandikwa...Kuanza kwa kusomwa DHUMUNI la Rais la kuitisha Bunge, kuliko ilivyoandikwa TANGAZO la Rais la kuitisha Bunge. Kama ni tangazo nadhani lilishafanyika/kutangazwa na ndio maana wabunge au waheshmiwa hao husika wameweza kurespond na kuwasili wanapostahili kuwepo na kuanza shughuli husika na si tangazo tena ni DHUMUNI sasa la kuwafahamisha dhima ya kuwepo kwao hapo. (Samahani kama ntakuwa nimechafua au kupotosha).
ReplyDelete