Mratibu wa Wafanye Watabasamu ambaye pia ni mchora vibonzo nchini, Nathan Mpangala akimkabidhi sare za shule mmoja wa malaika kituoni hapo. Aliyetupia koti ni Mwakilishi wa TNTA nchini, Bw. Mussa Mussa Zaidi kuhusu Wafanye Watabasamu tembelea: https://www.facebook.com/wafanyewatabasamu
 Watoto wakizitathmini zawadi zao.
 Mkurugenzi wa kituo cha Amani Orphanage Centre, Bi. Margareth Mwegalawa akiwa amempakata mtoto yatima anayelelewa kituoni hapo. Mtoto huyo alitupwa Chalinze miezi ya karibuni.
 Kutoka kulia, Nathan Mpangala (Mratibu Wafanye Watabasamu), Mussa Mussa (Mwakilishi TNTA), Amani Abeid (Rafiki wa Wafanye Watabasamu) na matroni wa kituo hiko wakiangalia tenki la maji kituoni hapo. Mnara wa tenki hili umetolewa na walimu wa Shule ya Msingi ya Catoon Grove.
 Mratibu wa Wafanye Watabasamu Nathan Mpangala na Mwakilishi wa TNTA Mussa Mussa walitafakari jinsi ya kuingia jikoni kituoni hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...