Wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha urafiki cha Dar es salaam wafanya mgomo wakishinikiza uongozi wa kiwanda hicho kuwaongea mishahara.https://youtu.be/jv0toXMA8Z0

Jumuiya ya umoja wa ulaya yatoa msaada wa shilingi milioni 400 kwa mashirika ya umoja wa mataifa nchini ili kusukuma gurumu la maendeleo.https://youtu.be/Q8fVScX5Llo
Serikali imesema mapato yatokanayo na uchimbaji wa gesi asilia yatawekwa wazi kwa umma na kuchapishwa mara nne kwa mwaka katika gazeti la serikali.https://youtu.be/D96yy05NE2o

Serikali imesema imejidhatiti katika kukabiliana na utandawazi katika biashara jambo ambalo litasaidia kongeza pato la taifa. https://youtu.be/V2YNUjge5F4
Shirika la uwezeshaji wananchi kiuchumi laingia makubaliano na taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya mashariki na kusini mwa Afrika ya ushirikiano wa kazi katika maeneo ya utafiti. https://youtu.be/xlOkp8ybaGM

Mchakato wa kuwania kiti cha uspika ndani ya bunge lijalo kupitia CCM washika moto baada ya takribani makada 18 kujitosa akiwemo Ndugai. https://youtu.be/-vYbXoh5zD4

Taasisi ya okoa Tembo yatuma barua ya wazi kwa Raisi Magufuli kumuomba achukue hatua madhubuti kupamabana na majangili ili kuokoa maisha ya tembo.https://youtu.be/m_NBHXjwODs

Uzalishaji wa taka jiji Dar es salaam waonekana kuleta tija kwa baadhi ya wakazi baada ya baadhi y ao kuibua biashara kupitia taka hizo. https://youtu.be/WbxIGcm57tg
Mvua kubwa yam awe iliyonyesha mkoani Rukwa yaelezwa kuleta madhara makubwa kwa wazi wa mkoa huo. https://youtu.be/NISiTT-TBQw

Maandalizi ya Ratiba ya bunge la kumi 11 yaanza rasmi huku wabunge wakianza kuwasili mkoani Dodoma kwa kazi ya usajili wa wabunge.https://youtu.be/_SPssVkz8NE
Baada ya kupokea maagizo ya Raisi John Magufuli hatimaye wizara ya afya yaanza rasmi utekelezaji wa maagizo hayo. https://youtu.be/S-ZkL8-5AoU
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetekeleza maagizo ya Raisi Dk.Magufuli kwa kutengeneza  mashine  moja ya MRI; https://youtu.be/cd8ud8lq9cU

Walemavu wa macho nchini wameshauriwa kujishighulisha na kazi ndogo ndogo ili kujikwamua na hali ngumu ya maisha; https://youtu.be/hrE4zhfI3cY

Serikali imesema itamchukulia hatua kali mkandarasi  CJ anayetengeneza barabara ya RUAHA  hadi Sali- Ulanga mkoani Morogoro; https://youtu.be/3ccJNE1n2y4

Tanzania yashauriwa kuwekeza zaidi kwenye mafuta na gesi ili kujenga uchumi endelevu wa taifa; https://youtu.be/ulDXno0TeM0

Raisi Putin wa Urusi ameagiza uchunguzi ufanyike kwa wanariadha wa taifa hilo wanaotuhumiwa kwa matumizi ya dawa ya kuongeza nguvu;https://youtu.be/Ppkez474kms

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh.Gallawa amesema mkoa wake uko tayari kupokea ugeni wa bunge jipya la 11 wiki ijayo; https://youtu.be/QCcNSyf41Q0

Wanachama wa Chama Chama Mapinduzi wameendelea kujitokeza kwa wingi kuwania kiti cha Usipika na unaibuka Sipika; https://youtu.be/Bi8ZFd-ov8I

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh.Kandoro ameziagiza halimashauri zote za Mbeya kuunda sheria zitakazotumika kulinda mazingira bonde la Rukwa;https://youtu.be/cMjPk43biV

Halimashauri ya wilaya ya  Hai  mkoani Kilimanjaro imewasimamisha watumishi wanne kwa matumizi mabaya ya fedha; https://youtu.be/JIFGrunWsuo

Taasisi ya kifedha ya Benki M na taasisi ya Hassani Maajr Trust waingia ubia kusaidia elimu nchini; https://youtu.be/E_7Y0jbnBD4

Wajasiriamali vijana nchini wameshauriwa kuwa wabunifu zaidi kwa mafanikio bora ya biashara zao; https://youtu.be/L9cxozsEpGI

Umoja wa benki za AKIBA kwa nchi za Afrika Mashariki zimesema zinashindwa kuendelea kwa kukosa wateja; https://youtu.be/Q2WenWLfxwg

Baraza la Sanaa la Taifa nchini BASATA limeshauriwa kuwatafutia masoko wasanii wa kitanzania kwa kukuza pato la msanii na taifa kwa ujumla;https://youtu.be/za4PAdhYyDE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...