Wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha urafiki cha Dar es salaam wafanya mgomo wakishinikiza uongozi wa kiwanda hicho kuwaongea mishahara.https://youtu.be/jv0toXMA8Z0
Jumuiya ya umoja wa ulaya yatoa msaada wa shilingi milioni 400 kwa mashirika ya umoja wa mataifa nchini ili kusukuma gurumu la maendeleo.https://youtu.be/Q8fVScX5Llo
Serikali imesema mapato yatokanayo na uchimbaji wa gesi asilia yatawekwa wazi kwa umma na kuchapishwa mara nne kwa mwaka katika gazeti la serikali.https://youtu.be/D96yy05NE2o
Serikali imesema imejidhatiti katika kukabiliana na utandawazi katika biashara jambo ambalo litasaidia kongeza pato la taifa. https://youtu.be/V2YNUjge5F4
Shirika la uwezeshaji wananchi kiuchumi laingia makubaliano na taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya mashariki na kusini mwa Afrika ya ushirikiano wa kazi katika maeneo ya utafiti. https://youtu.be/xlOkp8ybaGM
Mchakato wa kuwania kiti cha uspika ndani ya bunge lijalo kupitia CCM washika moto baada ya takribani makada 18 kujitosa akiwemo Ndugai. https://youtu.be/-vYbXoh5zD4
Taasisi ya okoa Tembo yatuma barua ya wazi kwa Raisi Magufuli kumuomba achukue hatua madhubuti kupamabana na majangili ili kuokoa maisha ya tembo.https://youtu.be/m_NBHXjwODs
Uzalishaji wa taka jiji Dar es salaam waonekana kuleta tija kwa baadhi ya wakazi baada ya baadhi y ao kuibua biashara kupitia taka hizo. https://youtu.be/WbxIGcm57tg
Mvua kubwa yam awe iliyonyesha mkoani Rukwa yaelezwa kuleta madhara makubwa kwa wazi wa mkoa huo. https://youtu.be/NISiTT-TBQw
Maandalizi ya Ratiba ya bunge la kumi 11 yaanza rasmi huku wabunge wakianza kuwasili mkoani Dodoma kwa kazi ya usajili wa wabunge.https://youtu.be/_SPssVkz8NE
Baada ya kupokea maagizo ya Raisi John Magufuli hatimaye wizara ya afya yaanza rasmi utekelezaji wa maagizo hayo. https://youtu.be/S-ZkL8-5AoU
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetekeleza maagizo ya Raisi Dk.Magufuli kwa kutengeneza mashine moja ya MRI; https://youtu.be/cd8ud8lq9cU
Walemavu wa macho nchini wameshauriwa kujishighulisha na kazi ndogo ndogo ili kujikwamua na hali ngumu ya maisha; https://youtu.be/hrE4zhfI3cY
Serikali imesema itamchukulia hatua kali mkandarasi CJ anayetengeneza barabara ya RUAHA hadi Sali- Ulanga mkoani Morogoro; https://youtu.be/3ccJNE1n2y4
Tanzania yashauriwa kuwekeza zaidi kwenye mafuta na gesi ili kujenga uchumi endelevu wa taifa; https://youtu.be/ulDXno0TeM0
Raisi Putin wa Urusi ameagiza uchunguzi ufanyike kwa wanariadha wa taifa hilo wanaotuhumiwa kwa matumizi ya dawa ya kuongeza nguvu;https://youtu.be/Ppkez474kms
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh.Gallawa amesema mkoa wake uko tayari kupokea ugeni wa bunge jipya la 11 wiki ijayo; https://youtu.be/QCcNSyf41Q0
Wanachama wa Chama Chama Mapinduzi wameendelea kujitokeza kwa wingi kuwania kiti cha Usipika na unaibuka Sipika; https://youtu.be/Bi8ZFd-ov8I
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh.Kandoro ameziagiza halimashauri zote za Mbeya kuunda sheria zitakazotumika kulinda mazingira bonde la Rukwa;https://youtu.be/cMjPk43biV
Halimashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imewasimamisha watumishi wanne kwa matumizi mabaya ya fedha; https://youtu.be/JIFGrunWsuo
Taasisi ya kifedha ya Benki M na taasisi ya Hassani Maajr Trust waingia ubia kusaidia elimu nchini; https://youtu.be/E_7Y0jbnBD4
Wajasiriamali vijana nchini wameshauriwa kuwa wabunifu zaidi kwa mafanikio bora ya biashara zao; https://youtu.be/L9cxozsEpGI
Umoja wa benki za AKIBA kwa nchi za Afrika Mashariki zimesema zinashindwa kuendelea kwa kukosa wateja; https://youtu.be/Q2WenWLfxwg
Baraza la Sanaa la Taifa nchini BASATA limeshauriwa kuwatafutia masoko wasanii wa kitanzania kwa kukuza pato la msanii na taifa kwa ujumla;https://youtu.be/za4PAdhYyDE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...