Mvua kubwa iliyonyesha kwa saa kadhaa jijini Tanga yasababisha mfereji mkubwa kufurika na kupelekea maji kujaa kwenye makazi ya watu.https://youtu.be/EvPniLrdLSs

Taasisi za kijamii huko Zanzibar ziwashauri viongozi wa kisiasa toka pande mbili za CCM na CUF kukaa pamoja na kutafuta muafaka wa kisiasa.https://youtu.be/CWN7uEmw3YA

Tume ya taifa ya ucahguzi NEC yawataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika maeneo ambayo uchaguzi umepangwa kufanyika nchini.https://youtu.be/xeui81BkzHw

Maadhimisho ya kisukari yafanyika nchini hapo jana huku watu wengi wakijitokeza kupima afya zao na kupatiwa ushauri. https://youtu.be/kxIrs_LXAHM

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Mtwara walalamikia huduma zinazotolewa katika hospitali ya rufaa ya Ligula Mkoani humo. https://youtu.be/jMXcXpq-eyA

Benki ya damu salama kanda ya kaskazini inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama kufuatia ongezeko la mahitaji ya damu mahospitalini hivyo kuhatarisha uhai wa wagonjwa. https://youtu.be/QuyNKM7JCUA

Vyama vya upinzani vyatakiwa kujipanga upya ili viweze kuaminiwa na kupewa ridhaa ya kuongoza nchi kwa kuimarisha mifumo ya vyama vyao.https://youtu.be/9Q0bR4oxqQ4

Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa chajikuta njia panda na kukumbwa na sintofahamu baada ya kada wake kutimkia chadema na kupewa ubunge wa vitimaalum. https://youtu.be/xpGJMks731k

Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars waeleza masikitiko yao baada ya kutoka sale ya bao 2 kwa 2 na timu ya Algeria. https://youtu.be/8ePj-jApiyU

Mechi ya kirafiki kati ya Uingereza na Ujerumani imehairishwa kufuatia hofu ya mashambulizi ya kigaidi kama ilivyotokea nchini Ufaransa.https://youtu.be/R0JaDzW7i1I

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...