Simanzi yatawala mkoani Geita kufutia mauaji ya kikatili ya mwenyekiti wa Chadema mkoa huo na watu wasiojulikana. https://youtu.be/fKH4KPGdyfU

Watotot waishio jirani na maeneo yenye migodi nchini wako hatarini kukosa elimu kufuatia watoto hao kuipa mgongo elimu na kuzama machimboni.https://youtu.be/C0KEf8KGjpI

Aliekuwa mgombea wa nafasi ya uspika wa bunge kupitia CCM Dr.Massaburi ajitoa kwenye kinyanganyiro hicho kufuatia tuhuma za kashfa zinazoelekezwa kwake.https://youtu.be/jy2FG8TSc4Q

Mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne amefariki na wengine sita wakijeruhiwa kwa radi Mkoani Iringa; https://youtu.be/qJa0b105zgM

Watu sita waliokuwa wamefukiwa na kifusi cha udongo katika machimbo ya Nyangarata wilayani Kahama mwezi 1 uliopita waokolewa 5 wakiwa hai na 1 akiwa amefariki; https://youtu.be/ylJjBqgX0Vs

Wakulima wa zao la Pamba wilayani Nzega mkoani Tabora wamelalamikia ucheleweshaji wa pembejeo za zao hilo zikiwemo mbegu;https://youtu.be/rJ36tqQXgbs

Wanariadha kutoka Kenya wameendelea kutamba katika mbio za Rock City Marathon zilizofanyika jijini Mwanza; https://youtu.be/Ei1bN7pqgwY

Mpwa wa mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Lassan Diarra amethibitishwa kuawa katika shambulizi la kigaidi jijini Parisi Ufaransa; https://youtu.be/MkJ-thNODSk

Inaelezwa kuwa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Kagera mkoani Kigoma uliofanyika leo umemalizika kwa amani; https://youtu.be/2cMP0weCraU

Wadau wa mashirika yasiyo ya kiserikali waombwa kushirikiana na serikali ili kukomesha suala la ukeketaji kwa watoto wa kike mkoani Mara; https://youtu.be/fCu-pmGzbx0

Wananchi wilayani Simanjiro mkoani Manyara wameiomba serikali kusaida kutatua shida ya maji inayowakabili wananchi hao; https://youtu.be/YiZ6KnJDO5U

Wananchi wa kijiji cha Wami Sokoine mkoani Morogoro wameigomea serikali kuondoka eneo walilolivamia kuwa ni hifadhi ya msitu;https://youtu.be/8TH7C7pjNHw

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...