SIMU.TV: Mahakimu wakazi wote nchini wametakiwa kuhakikisha kesi zote za uchaguzi zinapewa kipaumbele na kutoa hukumu mapema https://youtu.be/xRrZ45GeJEM

SIMU.TV: Wachimbaji wadogo 5 kati ya 6 waliokuwa wamefukiwa katika mgodi wa dhahabu wa Nyagalata Shinyanga wameokolewa wakiwa hai.  https://youtu.be/5RVaHQkpuAk
  
SIMU.TV: Utafiti uliofanywa na wakala wa ukaguzi wa madini TMAA wabaini wachimbaji wa madini adogo na wakati ndio wanaochangia uharibifu wa mazingira; https://youtu.be/Zsjbpq80qW0
  
SIMU.TV: Wakuu wa vyuo nchini wameombwa kutoa ushirikiano na kuelimisha wasomi juu ya ulipaji wa tozo ya Sh.20,000/= kwa kila mwanafunzi aliyedahiliwa mwaka huu https://youtu.be/kDKN53RWM9k
  
SIMU.TV: Wakulima watakiwa kuuza korosho kwa mfumo wa stakabadhi ghalani ili wakulima waweze kufaidika na mazao yao; https://youtu.be/1HsGlqKjGXU

SIMU.TV: Zaidi ya wananchi laki 5 visiwani Zanzibar wako hatarini kuathirika na mabadiliko ya tabia nchi endapo hatua na mikakati imara haitachukuliwa; https://youtu.be/x8Lyxw26_F0 

SIMU.TV: Wakazi wa kata ya Mabawa, Tangasisi wakosa makazi baada ya kutokea mafuruki yaliyosababishwa na mvua kubwa; https://youtu.be/E0InSYc98iI

SIMU.TV: Serikali itaendelea kuwekeza katika zao la korosho ndani ya Teknolojia ya kisasa ili kuinua zao hilo katika soko la Ndani na nje ya nchi.  https://youtu.be/OasNaEEq92g

SIMU.TV: Bunge la 11 limeanza kikao chake leo mjini Dodoma kwa kufanya uchaguzi wa spika wa Bunge huku Job Ndugai akiibuka kidedea.  https://youtu.be/3P6dOIjj6lc

SIMU.TV: Mvua zinazoendelea kunyesha Tanga zaleta athari kubwa katika baadhi ya mitaa na kusababisha wananchi kuhama majumbani mwao.  https://youtu.be/xcxr1sV7CNk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...