Mkuu wa wilaya ya Geita awataka madiwani waliochaguliwa hivi karibuni kujenga uhusiano mwema wa kiuntandaji na watumishi wa halmashauri ili kuwaletea maendeleo wananchi. https://youtu.be/1ynKoT77ASg
Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Songea waonyesha matumaini makubwa na raisi mpya katika kubadili mfumo wa utendaji serikalini. https://youtu.be/iOHZUu4XXzU
Mapokezi makubwa yamgonja raisi Dr.Magufuli mkoani Geita huku wananchi wakiwa na amatumaini makubwa juu yake huku wengine wakitoa nasaha zao.https://youtu.be/LNnSnYYy8BU
Wakati raisi mstaafu Jakaya Kikwete ankabidhi madaraka ametoa masamaha kwa wafungwa 4160 nchini kote. https://youtu.be/_68wRnZyaLs
Taifa la Tanzania leo limepata raisi mpya wa awamu ya 5 baada ya Dr.Magufuli kuapishwa na kuanza kazi za kiserikali rasmi hii leo. https://youtu.be/ZtMxPb0k3rs
Wakazi wa Iringa watoa maoni yao juu ya mategemeo kwa raisi wa awamu ya 5 Dr.Magufuli huku wakitoa rai mbalimbali. https://youtu.be/QmUxnIAND80
Wakazi wa visiwa vya Zanzibar wametoa maoni yao kufuatia kuapishwa kwa raisi wa awamu ya 5 Dr.John Magufuli. https://youtu.be/qCFHPanLEVA
Aliwahi kuwa waziri mkuu wa Kenya na kiongozi mkuu wa upinzani wa Kenya aongea machache juu ya raisi wa awamu ya 5 Dr.Magufuli. https://youtu.be/r32j4qsgFno
Baada ya Raisi Kikwete kuhitimisha kipindi chake cha uongozi wa awamu ya 4 raisi huyo mstaafu azumgumzia malengo yake baada ya kustaafu.https://youtu.be/2BMfmtvWSHw
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...