SIMU.TV: Mkurugenzi wa NEC akanusha orodha ya wabunge wa viti maalum inayosambaa katika mitandao kuwa sio sahihi na hivyo ipuuzwe;https://youtu.be/_D6sNX2tEwM 
SIMU.TV: Watu 8 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na kuta ya nyumba katika vijiji vitatu tofauti mkoani Iringa kufuatia mvua kubwa kunyesha; https://youtu.be/m80CCtu_rM 
SIMU.TV: Rai wa China wakamatwa na jeshi la polisi wakijaribu kuvuka na pembe za faru katika mipaka ya Tanzania na Malawi;  https://youtu.be/SNwxwzeIw28
 SIMU.TV: Baada Ya Dkt. Magufuli kuapisha kuwa raisi wa Tanzania, baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wataja vipaumbele kwa hatua za awali.https://youtu.be/PKvBBPEHU2E
 SIMU.TV: Dr.Magufuli apewa shauri kuangalia kwa karibu sheria za uhifadhi wa misitu, mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi; https://youtu.be/0fAPSOYgsQA 
 SIMU.TV: Ria wanne wa China wamekamatwa na jeshi la polisi wilaya Kyela wakiwa na pembe za faru wakitokea Malawi; https://youtu.be/k0CB0awpMHg  
 SIMU.TV: Wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuacha kulalamika na kuchangamkia fursa katika soko la ajira la Afrika Mashariki;https://youtu.be/EI8MUlaAm-Y 
 SIMU.TV: Serikali Yaombwa kuwekeza zaidi kukuza utaalamu wa madaktari na matibabu nchini ili kudhibiti ongezeko la wagonjwa wanaotibiwa nje;https://youtu.be/xHgiy_O-H24
 SIMU.TV: Utafiti Wizara ya afya kuhusu ugonjwa wa kipindupindu wathibitisha,wagonjwa waliofariki wametokana na kutofikishwa hospitalini.  https://youtu.be/cfvMjWnFZWM
 SIMU.TV: Chuo kikuu Huria Tanga Chawalaumu waajiri wenye tabia ya kukwamisha wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo chuoni hapo.https://youtu.be/5HKGNPF6XQg
 SIMU.TV: Taasisi ya utetezi ya watu wenye albinism nchini Tanzania imesema matendo ya ukatili dhidi ya albino yamepungua katika kipindi cha uchaguzi huu:https://youtu.be/czt-ZYTqo08

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...